Matthew 12:33

Mti Na Matunda Yake

(Luka 6:43-45)

33 a “Ufanye mti kuwa mzuri, nayo matunda yake yatakuwa mazuri. Au ufanye mti kuwa mbaya, na matunda yake yatakuwa mabaya. Kwa maana mti hutambulika kwa matunda yake.
Copyright information for SwhNEN